- SIM kadi ya Zantel
- Simu ya kiganjani
Kutumia huduma za Ezypesa unahitaji kujisajili kwa wakala wowote wa Ezypesa au duka la Zantel. Unahitaji
Temblea wakala wowote wa EzyPesa alie karibu yako ama duka la Zantel na nyaraka zifuatazo:
Utatakiwa kujaza fomu ya usajili wa wateja, kumbuka kusoma vigezo na masharti. Baada ya usajili piga *150*02# na chagua huduma unayohitaji. Mteja anatakiwa kubadilisha namba yake ya siri pale ambapo ataanza kutumia huduma ya Ezypesa.