Wateja kulipia bidhaa na huduma kutoka mitandao yote kwa urahisi zaidi.
Katika kuboresha huduma za malipo kidigitali, kampuni ya Zantel leo imezindua huduma yake ya Lipa kwa Simu ambayo itawaruhusu wateja kulipia bidhaa na huduma moja kwa moja kutoka kwenye simu kwenda kwa wafanyabiashara.
Huduma hiyo itachochea maendeleo na matumizi ya teknoloji...
soma zaidi